1. YouTube
YouTube ni jukwaa kubwa la kushare video. Anza channel yako leo, weka maudhui ya kuvutia, kisha ungana na AdSense ili kupata kipato kupitia matangazo. Pia tumia Super Chat na kuuza bidhaa zako au huduma za ushauri kupitia link zilizoko kwenye description.
2. WordPress
WordPress ni CMS yenye nguvu ya kutengeneza websites na blogs. Jenga blog ya kitaalamu, ongeza plugins za SEO, kisha pata kipato kupitia matangazo au affiliate marketing. Unaweza pia kuuza huduma kama web design na upkeep kwa wateja wako.
3. Blogger
Blogger ni platform ya bure ya Google. Rahisi kuanzisha na kusimamia. Andika maudhui yanayovutia, unganisha na Google AdSense, kisha anza kupata kipato kupitia matangazo yenye lengo. Hakikisha unachapisha mara kwa mara ili kuongeza trafiki.
4. Fiverr
Fiverr ni marketplace ya gigs. Unda huduma zako (graphic design, writing, coding…) kisha watu duniani kote wanaweza kununua. Endelea kuongeza portfolio na reviews – taratibu bei zako, ongeza packages, na utaona mauzo yakiongezeka.
Anza leo na jikwamue kifedha kupitia mtandao! Ukiwa na Komando wa technology ni Mmoja Tu DSN🔥